Sunday, April 15, 2012
Mzazi huyu...........
MTOTO: Baba ntumie hela ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya la sivyo ntajinyonga.
BABA:huku nyumbani hali ni mbaya kuliko huko shuleni kwahiyo kama unajinyonga sawa tu kwa sababu utapunguza bajeti. Kopa kamba dukani nitakuja kulipa nitakapokuja kuchukuwa mwili. Mungu akulaze mahali pema peponi
Kuwa na Msimamo
Katika Daladala mama mmoja alitaka kumnyonyesha . Mtoto akakataa! Mama akamwambia "NYONYA KAMA HUTAKI NAMPA ANKO" (Anko ni kaka mmoja abiria aliekaa na huyo Mama pembeni) mtoto akanyonya kidogo na akaacha! Mama akamtishia tena kumpa Anko, ndipo yule kaka kwa hamaki akasema,; "MAMA UWE NA MSIMAMO, UNAJUA NIMEPITILIZA VITUO VINNE KWA AJILI YAKO, HEBU KUWA MKWELI! UNANIPA AU NISHUKE!?
Subscribe to:
Comments (Atom)