Baada ya watu kuleta fujo kugombea KIKOMBE, Babu aliamua kuwapanga kwa mistari. Msitari wa kwanza wenye kansa, walikuwa wachache. Mstari pili walipangwa wa kisukari, wakawa wengi. Mstari wa tatu akasema wajipange wenye Ukimwi, ukakosa watu kabisa. BABU akamwambia msaidizi wakeamwage ile dawa ya kutibu ukimwi. Watu wakapiga kelele sana wakasema: USIIMWAGEEEE, NA HIYO TUTAKUNYWA HIVYO HIVYOOOOOOOOO!!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment