Sunday, January 8, 2012

Nani ana dhambi hapa?

Askofu aliendesha harambee kuchangia ujenzi wa kanisa. Wakristo wakatoa Tshs. 75,050/= tu. Ghafla majambazi wakateka kanisa na kuamrisha kila mtu atoe alichonacho!!! Majambazi wakakusanya Tshs.8,945,800/= cash, kisha wakamkabithi Askofu ili aendeleze ujenzi wa kanisa. Je, majambazi wana dhambi au wakristo wanathawabu ??

No comments:

Post a Comment