Monday, January 9, 2012

Panya yupi ni nomaaaaa!

Panya wa3 walikuwa wanatambiana nani mkali zaidi ya wenzake.. Panya wa 1: mimi hata mtego uwekweje,nategua tu! Panya wa 2: mimi hata maziwa yawe yamewekwa sumu,mi nakunywa tu! Panya wa 3: ye akaanza kuondoka. Wenzake wakamuuliza, "we vipi?" Akajibu, "Naenda kufunga ndoa na PAKA...!" Je,yupi noma?

No comments:

Post a Comment